kumbe hadi wahitimu wa UDSM wanalalamika mishahara midogo.......... mm nilijua ukimaliza UDSM kilaki2 poa kuanzia mshahara, kazi,gari la usafiri, nyumba ya kuishi......
mtowa mada nimiongoni mwa wa2 wenye ugonjwa wa kufikiri yaan wavivu wa kufikir huu ni ugonjwa hatar zaid ya AIDS coz una destroy future za wa2 weng sana........ hawaniwale wa2 wanaofikiri kuwa wa2 wote wanaoishi ulaya or america ni matajir....... or ukisoma speacial skul lazima upate...
huyu jamaa inaelekea ameweuka...... anafikiri chuo kuwa kipya ndo kinatakiwa kupewa jina hilo..... basi kwa tahari yako udom ni mradi wa pili kwa ukubwa kufanyika tanzania wa kwanz ni ujenz wa reli ya tazara...... serikali haiwezi 2mia bilion 777 kujenga chuo cha kata dogo......udom ni chuo cha...
mm nakushauri nenda telecom coz is new course so haina expert weng kama civil..... civil imeanza kufundishwa tanzania long time hata mzee wa miaka 65 wanayo hiyo talum.... bt telecom ni mpya wenye taluma hiyo ni vijan 2 so hapo hakuna swal la uzoefu hapo ni akili 2
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.