Recent content by UHURU JR

  1. UHURU JR

    Wakorea wanne kwenye kikao cha Watanzania 20

    Afrika ndio tume relax na kupongezana kiasi kwamba utasema ndio bara liloendelea.
  2. UHURU JR

    Wakorea wanne kwenye kikao cha Watanzania 20

    Unalinganisha katika nini maana hakuna binaadamu mwenye kujua na bora kwenye kila kitu.
  3. UHURU JR

    Taja aina ya muziki usioupenda

    Ndio maana nikasema mmegoma kukubali mabadiliko mlitaka muziki ubakie vilevile watu waimbe kama enzi za miaka ya 70 huko, ulitakiwa useme kuwa wewe ni mpenzi wa nyimbo za zamani ila sio kuanzia kusema sasa hivi hakuna muziki mara sijui maadili. Kuna nyimbo nyingi sana sasa hivi zipo hizo...
  4. UHURU JR

    Taja aina ya muziki usioupenda

    Muziki huwa ni burudani toka enzi hizo, tatizo haieleweki point yenu ni kwamba miziki ya sasa sio mizuri au kwamba ina matusi?
  5. UHURU JR

    Kutoka kipindi cha mpito cha kufiwa na Hayati Magufuli hadi maandamano ya upinzani

    Kweli kabisa unaamini maandamano hapa Tanzania yanaweza kuwa na athari yenye kuleta mabadiliko tena kwa muda mfupi kiasi hicho? Kwa dalili zipi za kufanya tuamini hivyo?
  6. UHURU JR

    Kutoka kipindi cha mpito cha kufiwa na Hayati Magufuli hadi maandamano ya upinzani

    Kuruhusu maandamano nayo ni mafanikio? Una andamana halafu hakuna kinachobadilika.
  7. UHURU JR

    Wadada hivi mnaenjoy kubambiwa kwenye mwendokasi au?

    Wanawake ndio wanapenda kuliko wanaume halafu si mtoto wala mzee.
  8. UHURU JR

    Taja aina ya muziki usioupenda

    Mkuu muziki ni burudani, hii dhana ya sijui kuelimisha ni unafki tu kwa sababu hata hiyo miziki ya zamani ipo ambayo ilikuwa na matusi matupu yaliyoimbwa kwa mafumbo lakini hadi leo mkisifia nyimbo za zamani mnatuambia zilikuwa na ujumbe mara sijui mafunzo. Nyimbo kama za Issa matona huko...
  9. UHURU JR

    Taja aina ya muziki usioupenda

    Humu kuna wazee ambao wamegoma kubadilika, siku zote muziki ni burudani tu hivyo ukiona hakikuvutii unaachana nacho. Hizi hoja za kwamba sijui miziki ya sasa haielimishi ni maneno tu maana hata huko zamani tumesikia sana nyimbo za matusi zilizoimbwa kimafumbo. Binafsi siuelewi huu muziki wa...
  10. UHURU JR

    Imani ya Mwarabu na Myahudi zinafanana kwa karibu sana, wote walimkataa Yesu ndio maana laana ya damu inawasumbua

    Point yangu ni kwamba ukristo ni imani ambayo inagusa sehemu ndogo ya maisha ila katika uhalisia wa maisha ya binaadamu kuna mambo mengi zaidi.
  11. UHURU JR

    Imani ya Mwarabu na Myahudi zinafanana kwa karibu sana, wote walimkataa Yesu ndio maana laana ya damu inawasumbua

    Pengine ndio maana wengine husema ukristo ni imani tu na si dini, ndio maana utakuta mkristo atasifu ukristo (imani) kuwa ni upendo tu na kwamba hakuna fujo ila huyo huyo atashabikia vita ya Palestina na Israel. Hapo hoja ya upendo kaiweka pembeni.
  12. UHURU JR

    Imani ya Mwarabu na Myahudi zinafanana kwa karibu sana, wote walimkataa Yesu ndio maana laana ya damu inawasumbua

    Shida ni kwamba waislamu wanapozungumzia majini huzungumzia kitu tofauti na wakristo wanavyozungumzia majini. Wakristo wao wanazungumzia majini kuwa ni malaika ila waliyoasi na si kwamba majini ni aina nyengine ya viumbe vilivyoumbwa na Mungu, ila waislamu wanapozungumzia majini huzungumzia kama...
  13. UHURU JR

    Dkt. Nyambura Moremi ateuliwa tena kuwa Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa. Aliondolewa baada ya sampuli za mimea kukutwa na UVIKO-19

    Mnaokereka ni nyinyi na hata ukiangalia maneno mnayotumia ni maneno makali yenye kuonyesha mnakereka kuona kuna watu bado wanamkubali mtu(ingawa ameshafariki) ambaye nyinyi mnamchukia, mfano kutuambia kuwa Magufuli ni mungu wetu ni maneno ya mtu ambaye ameshavurugwa na hasira anaropokwa tu...
Back
Top Bottom