Unaleta uzi huna taatifa yoyote juu ya facts za unacholeta. Ni uboya tu. Eti unataka uwe wa kwanza kureport huku huna taarifa yoyote. Only dogs can behave like that. Only dogs.
Asante sana kwa update mkuu. Swali la pili la nyongeza ina maana muda wa kulipa faini hauna ukomo? Let say siku mbili nne au wiki?. Isije siku ya ukomo ikafika huku hazijapatikana hela then watu wakaangamia gerezani.
Siku hizi maendeleo yana vyama.
Jamani wanajamvi habari za leo na poleni na majuku,mu na maumivu ya hukumu za wenzetu. Msaada tutani Leo ni siku ya Alhamisi. Mm binafsi sijapata update ya michango ya kuwatoa kina mbowe gerezani hasa baada ya kufanikiwa kuwatoa wabunge wanawake yaani Mh Halima, Matiko na Bulaya. Je CDM...
UPDATE YA MICHANGO YA KUWAKOMBOA KINA MBOWE
Wanajanvi naomba kujua update juu ya michango ya kuwakomboa kina Mbowe mpaka alhamisi hii. Zimefikia sh ngapi? Je wameweza kupata mil. 350? Msaada tafadhali
Iliwahi kumtokea jamaa yetu tukiwa chuo kikuu cha Dar akampokea demu toka moro in similar manner. Kumbe demu alikuwa jini. Usiku ukifika tunampisha room anapiga mashine but finally akamkimbia demu na hakutuambia kilichomsibu u8siku huo. Demu alikuwa njema kifedha na kimvuto maana alikuwa na umbo...
Wachina wameomba wapewe ziwa Victoria kwa miaka 231 ili wasamehe madeni yooote wanayodai kwa nchi za Africa mashariki. Ndo tumeanza mazoezi ya kuwapa vyao
China imewaomba watu wa Africa mashariki wawakodishie wachina ziwa Victoria kwa miaka 231 eti wawafutie madeni yao yote wanayoyadai kwa wana wa Africa mashariki. Ndo tumeanza mdogomdogo kuwapa vyetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.