Naelewa kiasi kuhusu asali. Settler tenki zinapatikana Arusha BDTL au Chuo cha Nyuki Tabora kama utataka mawasiliano yao nijulishe.Vifungashio pia Arusha kuna kiwanda kinauza chupa za kila aina za ujazo tofauti kulingana na mahitaji yako.
Mtoa mada hilo swali ni la Dr Slaa na Mnyika na hata ukijifanya unataka kuligeuza mtaani wananchi wengi hawajaelewa so lazima tu mjiandae CDM kutoa maelezo ya kina maana aliyetangaza hiyo list anajulikana hata na mtoto mdogo yeye ndio anawajibu wa kutoa majibu
Hapana mdau si kweli kwamba asali ya Tabora ina Nicotine ila ni lugha ya biashara kwa watu wa maeneo mengiine na hii imethibitishwa kiutafiti so far wafugaji wengi Tabora wanafugia kwenye protected areas so sio rahisi asali kuwa na nicotine.
Mtaalamu wa simu mimi nina simu ya samsung hapa home sasa watoto wanadai walitoa line baada ya kuirudisha line haisomi na nimejaribu kuweka na line zingine inakataa kusoma tatizo ni nini?
Wadau nimeangusha simu yangu samsung galaxy gland na imepasuka kioo cha juu ingawa inafanya kazi ila nahitaji kubadilisha kioo niko tabora kama kuna mwenye kujua naomba ushauri au maelekezo juu ya nini cha kufanya tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.