MANJI AKIMBIZWA MUHIMBILI
Mfanyabiashara Yusufali Manji (41) bado anaumwa na amepelekwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI).
Hayo yameelezwa leo na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Nassoro Katuga, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi wakati kesi yake na...
Amri hii ya kuamrishwa wailamu kuelekeza nyuso zao sehemu flani haijaanza sasa tokea manabii waliopita nao waliamrishwa hivyo
Soma kumbukumbu la torati :12-5 mungu anasema
Lakini mahali atakapo chagua bwana mungu wenu, katika kabila zenu zote, apaweke jina lake, maana ni makao yake...
Kama waliyoshinda hawana uwezo zigo la lawama lote ni kwa wajumbe wa chadema wao ndiyo wamependekeza majina mbumbumbu
Mi binafs staki kuamin hilo bali ninacho amini chadema walitaka kucheza mchezo mchafu kwenye demokrasia
ni kweli ilikuwa juma tatu kwenye kipind cha spots bar alikuwa anazungumzia ujenzi wa uwanja wa ndondo cup bandari kwa vile mkuu wa mkoa ndiye aliyemshawishi mfadhili kujenga uwanja huo ndiyo akasema uwanja utakapo kamilika utakabiziwa kwa mkuu wa mkoa nafikir hilo ndiyo limemponza
bado sijamsikiliza
mm binafs sikubaliani na ubaguzi wa aina yeyote uwe wa dini kabila au vyama vya siasa
nitamuunga mkono mtu yeyote kwa maslah ya nchi yetu
mm binafs siikubali ccm au niseme nilikua naichukia sana ccm lkn kwa sasa nakubaliana baadhi ya mambo anayofanya rais
nafikir weng...
hii inchi inasikitisha sana ss wananchi hatupaswi kumuunga mkono mtu yeyote anaetumia mambo ya kitaifa kwa maslah binafs
huyu mzee amejificha kwenye koti la kupambana na vyeti feki wakati hana dhamira hiyo dhamira yake kuu ni kilipiza kisas
huyu mtu si wakuungwa mkono anaetumia jambo la...
hiyo ni kweli huwezi kutofautisha matukio yaliyotokea hv sasa kwa bashite na gwajima tukianza cheti feki kukimbia nchi kuvamia clouds yote hayo huwez kumtenga gwajima
mihemko hiyo yote ameipata kwa sababu ya gwajima ndiyo aliye muathir kisaikoloji kutokana na mashambuliz yake mahubili yake...
kwa sababu waliyoanza kupambana na makonda walikua na agenda yao binafs ya kulipiza kisas
wala akina gwajima hawapambani na makonda kwa maslah ya nchi bali agenda yao
kwa hiyo rais yupo makini hawezi kumtumbua makonda kumsaidia gwajima nakundi lake kulipa kisasi
kwani ww huyajui uwaoni watu mpaka kanisani wameacha kuubilr injili wanaubir makonda haya ni mapambano ya kulipa kisasi
kwan akina gwajima waliwah kufanya jambo gani au kutetea kwa maslah ya nchi yetu
Suala makonda kuvamia clouds nyinyi na gwajima ndiyo mumechangia kwa kiasi kikubwa Yale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.