Yanga ndio itakuwa timu mbovu msimu ijayo...yanga wanabebwa na waamuzi ligi kuu hawastahili kuwa mabingwa...timu yenye rangi ya mavi..njano njano ni ya wachawi tu
Hawa marefa wanaoibeba yanga mchana peupe wataenda kuchezesha mavi yao..waamuzi wa kitanzania wanaweza kuiwezesha timu mbovu ikaibuka mshindi kwasababu ya siasa,rushwa na ushabiki..mfano mechi ile ya kagera na yanga,kagera wameshinda goli la alali wakazulumiwaa na refa..sasa muamuzi kama huyo...
Hapo vip!!
Nimeona niwape tafsiri halisi ya hili jina la wadudu kutokana na waazilishi wenyewe.
Kama unavyoelewa Arusha ni mji ambao ukikaa vibaya unasababishiwa mauvi chap.
Kwanza kwa tafsiri ya kawaida mdudu ni kiumbe kidogo ambayo kinaweza kuishi ndani ya kiumbe kingine..mfano kuna...
Sijawahi kumuona muhindi aliyewekeza kwente soko ni sawa na mchina,hawa hamaa wanadamu ya kunguni aisee..muhindi awekeze kwenye viwanda vya pili pili,biscut,juice na pipi ila mchina apambane na barabara
Tatizo la mashabiki wa yanga muna umaskini mpaka kwenye akili,haishii kwenye kukosa hata pesa ya kuingia iwanjani bali umasikini wenu umevuka mipaka mpaka kwenye akili
Kwanza ni nimesoma sentensi moja ya comment yako tu,baada ya hapo sikuendelea tena.
Comements yako inashira wewe ni wakala wa shetani unayejaribu kuja kwa sura ya malaika kumtetea bwana wako...kaa mbali na nami..mimi hunibadilishi kwa chochote juu ya msimami wangu
Hapo vip,
Nimejiuliza maswali sana kuhusiana na hizi kelele za yanga dhidi ya Simba sc, kuweka mabango na kalele.za kufika robo fainali club bingwa.
Majibu ni kwamba yanga ni zee ambalo halina mafanikio ukilinganisha na umri wake.
Kwasababu tokea Dunia kuumbwa na yanga kuanzishwa ndio mara a...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.