Hakuna njaa CCM Bali kuna wachache tuuh CCM wenye njaa!! Ila vyama vyenu hivo ndo vina njaa Kali sanaa ndo maana mnataka kuuana kisa ofisi ya chama tuuh
Niambie na ikiwezekana weka ushaidi wako humu ni siku gani Lema, Lissu su Mbowe au yeyote yule kutoka upinzani aliyetishiwa na bastola hadharani tena mchana kweupe mbele ya kamera!! Ukitoa ushaiji ni bora nisiwe member wa Jf kwanzia Leo kwa sababu nyie mnapenda kuweka propaganda hadi kwenye...
Hujui ulisemalo kwani hao unawadharau leo wakija kwenu mtawapokea kama watume na wafalme tena mtawasujudu kuliko ata Mwenyekiti wenu wa chama kwakuwa waliandaliwa kuwa viongozi bora na si kuwa watawala....
Kumbuka enzi hizo tupo porini tunakufa na kupona usiku na mchana kwa sababu ya chama wengine wanakula maisha Corner Bar, Dar live Leaders club halafu leo baada ya kuifadi matunda tuliyoiangaikia tunamwagiwa maji ya moto duuuh
Tiyari Comrade Mwighuru Nchemba ashaagiza yule askari akaangwe kabisa kwa sababu hajui ni mambo mangapi Nape Nauye kapitia mpaka CCM ipo madarakani mpaka leo
Ndo maana chama chenu hakiwezi kupiga hatua mbele bila kukopa watu CCM kwa sababu akili zenu zimeganda na viongozi wenu hivohivo..... Mnaishi kwa kufikiri , kutabiri na kupiga ramlii tushawazoea lakini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.