Uchambuzi wote huu ndiyo unaopelekea umaana wa sanaa... mitizamo tofauti kwenye jambo lile lile! Big Up Masoud! Ukiona huweze kuwa na tasfiri zaidi ya moja basi hiyo siyo sanaa!
MSIJALI SANA WATANZANIA WENZANGU... SHERIA HII KAMA ZILIVYO NYINGI HAZITAFANYA KAZI... Be happy and relax!! Hatuna serikali yakufanyia kazi mambo haya wewe!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.