Namfananisha Dr Slaa na Nyerere.
Watanzania tunapaswa kuona mbali na si hapahapa.
Mtoa mada kasema Dr anashangaza kwa kile cha kutotaka misaada na badala yake skill. Tukienda hivi basi tutafika tutakako.
Tuelimishwe tu jinsi ya kuvitumia tulivyonavyo. Hii ndo sauti ya Dr.
Sauti ya simba ndo humtoa nyoka pangoni. Twapaswa kuwa na sauti hii ili tufike tunakopataka 2015.
Enyi kizazi cha leo, piganieni maslahi na uhuru wenu kabla jua halijaanguka.
Kigwangala inawezekana amejirudi. Baada ya kuamua kwa sababu ulifuata mkumbo, sasa unaona uhalisia kwamba ulikosea.
Hapa sioni kosa, kwa vile mwenyewe ametubu kwamba alifanya kosa kuunga hoja mkono.
Hivyo hili swala halina budi kurudishwa mezani na jinsi ya kuipitisha inahitaji kutumia akili...
An accident has occurred in Egypt where a boat is said to have sunk in the Mediterranean sea. Number of people (migrants) are said to have lost their lives.
Source: BBC NEWS
Lakini pia unapoibua hoja, lazima utakuwa na sababu tosha za kusema hivo; "proof beyond doubt".
Ingefaa sana endapo mtoa mada angekuwa na ushahidi wa kutosha juu ya alichosema.
Na endapo amezusha tu, basi hayuko sahihi hata kidogo na kwa kosa hilo anastahili adhabu kali ili iwe fundisho...
Yes. I appreciate 100% Dr's speech.
Is really scientific and rational. Moreover it is researchable.
All he has said is true;both existing and that which is lacking.
Tanzania katika safu ya nchi tajiri Africa na hata duniani ipo. Ila iko katika kivuli kwa maana kwamba watu wake hawanufaiki kwa lolote.
Nchi ya Tanzania imejaliwa mlima mrefu kuliko yote Africa, mbuga lukuki za wanyama, madini, maziwa na ardhi kubwa na ya kutosha.
Watanzania leo hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.