Recent content by sentino2015

  1. S

    Waislam wa Tanzania na tatizo la udini katika Wizara ya Elimu

    Huwa nakuwa wa mwisho kishwishika kujadili udini...nadhin kwa tz tusiendekeze mitazamo ati ya udini!!!looo
  2. S

    Waislam wa Tanzania na tatizo la udini katika Wizara ya Elimu

    Unajadili udini?hata ungelikuwa na hoja kama mlima lakini,kujadili udini ni suala ambalo watu wenye silka hiyo,ni wale ambao nao ni wadini,nadhan tujadili mambo yanayoweza kutukomboa na si kutugawa,udini ukabila na ukanda yawe maswali ya mwisho kabisa hata katika mazungumzo yetu,shime tuwe wamoja
  3. S

    Ni sawa Serikali kuwayang'anya mashamba walioshindwa kuyaendeleza, waliokiuka mikataba ya nyumba je?

    Kumbee anamtafuta Sumaye?mfuate,chadema,ama umesikia anataka kuvalishwa viatu alivyovitupa Dr.Slaa
  4. S

    Wizara ya Fedha, si apewe Chenge tu

    Mtataja sana majina ya watu,lakini hii ni awamu ya kazi,mtabashiri sana mwaka huu,hapa kazi tu.
  5. S

    Mbunge wa Ubungo, Mhe. Kubenea akamatwa kwa amri ya DC Makonda

    Nadhan watu hawajui kuwa Dc ana amri ya kumuweke mtu kizuizini,kwa fulan na hasa hizi kauli za kashfa ama mabishano hasa aliwa kazini,watu wasilete siasa.
  6. S

    Mikoa sita (6) kapuni uteuzi wa baraza la mawaziri

    Mawazo ya kizaman sana kuwa ati usawa wa kimikoa hata kama watu hawanauwezo kwa serikali makini kama hii sidhan kama anaweza kufanya ujinga huo.uwaziri si ukuu wa mkoa
  7. S

    Sumaye kuwa Katibu Mkuu CHADEMA?

    Sumaye hafai,ila sema kwa uhaba watu walionao,na deni walilonalo kwa lowasa sawa
  8. S

    Magufuli walete Dr. Joas Kabete, Dr. Lennard Tenende na Jenga Ngalawa kutuokoa

    Kweli kabisa hatuwezi tekewa na watu fusiowajua kwa undani,awamu hii kazi tu,umaarufu wa mtu utabainishwa na uzalendo,uadilifu,utaifa na kazi,hata awe Marekan ama wapi atapimwa kwa vigezo vyetu hivi hivi,hatutekewi safar hii na majina ama umaarufu bila rekodi
  9. S

    Magufuli ndio habari ya dunia sasa, mpaka "yahoo news" anakimbiza.

    Hakika,hata magazeti ya kiarabu pia yameandika habari zake,jamaa anastahili,na amekuja wakati muafaka kwa taifa hili.
  10. S

    Magufuli Kwenye Kikao cha kumshauri agombee urais: Nikichaguliwa, watu watalimia meno

    Mbona inafunguka tu kwa double click,mie imefunguka
  11. S

    Je, Katiba mbovu ya nchi imeanza kuwageukia wenyewe CCM?

    Mhhh mtu anaposema ukawa,nashangaa ni lini wamewahi kufanya mambo ya kizalendo kama ya Jpm,huyu ni kitu kingine haigi wala haigizi,so hakuna kujipa sifa hapa kuwa ati dira yake ni Ukawa,na je alipokuwa ujenzi,ilikuwa UKawa,hebu tuache hekaya sifa zake tumpe kmili kamili
  12. S

    Ya Chanika na tahadhali iliyowahi kutolewa na Lema

    Hivi hoja ni majambazi ama ni Lema nachanganyikiwa kidogo
  13. S

    Kati ya makampuni yaliyokwepa kodi mbona hatusikii yanayomilikiwa na Lowassa?

    Atakuwa kaguswa siri yake,kama ambavyo kampuni zake pia ni siri yake
  14. S

    Wakati Tanzania tukiwa tunashangilia kusimamishwa maofisa TRA, Kenya wanafanya hivi...

    Mtoa Uzi anaishi Tanzania ya lini, nahisi anaweza kuwa hayupo nchini labda,lakini mbona hata huko nje taarifa za Magufuli zimeenea,nashangaa hilo somo alikoliokota kwamba ati tujifunze huko,wakati wakenya wenyewe kwa sasa wanasoma mchezo wa Tz ya Magufuli. Ama ni post ya zaman labda
Back
Top Bottom