Yaani huyo mtu alichoka na steve hakusikia kama amesema amechoka akaisambaza hivyo hivyo?sikilizeni nyie,acheni kutumia manguvu mengi kukanusha,kausheni maisha yaendelee tu
Asante.Wahuni wanataka kutuwekea mgonjwa mwizi nyumba nyeupe na wanalazimisha iwe wanavyotaka.Kingunge ni muhuni mwenzao tu nae,anayeweza kumfikia aniulizie kwa Kingunge,kama angepitishwa Lowasa kwa mchakato huo huo uliotumika,ungekuwa wa halali?
akiwa anaongelewa Top Rap Elite wa bongo ukaamua kumtaja mkuu wa wezi wa flow kwenye marapa wote wa bongo unanipasua kichwa kabisa ndugu. Eti joh pssssss.hii nyimbo unaijua?MGK 'Peso'.
http://youtu.be/Y_iqKF5v4Cg
sijui kama ulichosema nimekielewa mpaka ulipotaka nielewe,ila swali langu linabaki hivi,kama mimi ni msanii na nataka kutoka kwa kutumia bifu,niwa'diss nani na nani kati ya vinega wanaokubalika kwa watanzania wengi ili awe 'amenibeba' na mi nifahamike??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.