Habari zenu wakuu. Tatizo ni kukatikatika kwa umeme huku sengerema mkoani mwanza. Hili tatizo limedumu kwa muda mrefu sana.
Shida ni nn? Kwa nn tatizo hili lisirekebishwe sababu ni tatizo ni la muda mrefu. Nawasilisha
Hapa tunaumia kimya kimya tu. Hii sintofahamu mpaka ipate utatuzi tutakuwa tushalipia sana. Mamlaka zinazohusika zipo lakini hakuna chochote kilichofanyika. Hapa kazi tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.