Recent content by sangas

  1. sangas

    Ushauri kwa Rais Samia: Kwenye mabadiliko ya Cabinet kufuatia Ripoti ya CAG, tumia wazoefu; Fedha mpe Dkt. Kimei, Biashara Uwekezaji mpe Deo Mwanyika

    0 !......makonda siyo mbunge mawaziri lazima wawe wabunge wa kuteuliwa na raisi au wakuchaguliwa mkuu
  2. sangas

    Hatu ya Makundi CAFCL: Inaweza kutokea Simba na Yanga kupangwa kundi moja

    Katika football lolote linawezekana... Liverpoool kuna wakati alipigwa 3~0 first half lakini akawa bingwa wa uefa na ilikuwa liver mbovu sana maana ligi ya kwo walimaliza nafasi ya sita akiwa hana sifa ya kucheza uefa msimu unaofata.... Kuna waka barceleno walifungwa 5~0 na psg lakini walipindua...
  3. sangas

    Naibu Waziri wa Afya: Nikiona PDF ya Zuhura haipo kwenye Instagram ya Ikulu nakuwa na 'confidence'. Mh. Rais nakushukuru sana kwa mimi kunusurika!

    Alikuwa mbumge kupitia chadema ...baadae akaunga mkono jitihada za mwendazake raisi akazadiwa unaibu waziri yeye na wenzake..siwataji so full kujikomba ndo serikali tulionayo hakuna weledi ukijikomba unapewa cheo
  4. sangas

    Kwanini Nelson Mandela hakumsamehe Winnie Mandela

    Kwa ufupi tu...samora macheli aliwahi kumuaga mkewe Graca macheli kuwa yeye [samora] anaweza poteza maisha hivyo akamwambia nikifa uende kwa mandela naamini mandela atakuwa raisi wa RSA...hivyo baada ya samora kutunguliwa graca alikuwa mjane na mandela akawa raisi hivyo unabii ukatimia...
  5. sangas

    Mabadiliko madogo Baraza la Mawaziri yanalenga kumsogeza January mahali patakatifu?

    Huyu jamaa ana kaskendo ka kuiba mtihani kidato cha nne, ikamlazimu kurudia tena mwaka mmoja baadaye..... Sio msafi hata kidogo hafai kwa hilo tu
  6. sangas

    Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Doto Biteko ateuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati. Makamba Mambo ya Nje, Pindi Chana Katiba na Sheria...

    katiba ya jmt haina wizara wala vipengele vyakd ila inamtaka raisi kuteua waziri mkuu na mawaziri na kuunda baraza .lakini katiba haijasema wizara ziweje ndio maana kila raisi anaunda wizara zake na kuzichanganya anavotaka. So cheo cha naibu waziri ama naibu waziri mkuu havipo kikatiba na ni...
  7. sangas

    Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Doto Biteko ateuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati. Makamba Mambo ya Nje, Pindi Chana Katiba na Sheria...

    ukiona baba ako kaoa bi mdogo ujue bi mkubwa tayari ana kasoro ndo kutengwa huko.
  8. sangas

    Dodoma: Yaliyojiri kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)

    Wale wataalaam wa IT kutoka Rwanda wana mfundishaa jamaa mambo ya rwanda si bure tu kuona tunafanana na Rwanda na mambo ya uendeshaji wa kibabe Ipo siku tutajikuta ni Rwandan oriented kabisa yetu macho tu,
  9. sangas

    Tundu Lissu: Spika asilete hoja kuwa sehemu aliyopelekwa ndio inakuwa kikwazo yeye kulipiwa gharama

    Duuh huenda wewe ulifurahi Sana mwenzio kumiminiwa marisasi Tatizo la watu wanaofaidika kwa sasa kwa dhuluma hizi tupatazo wananchi hawaoni mbele na kutuona tunao dai haki ni wasaliti Siku Lissu anamiminiwa risasi mkuu wa nchi aliongea kuwa wasaliti hawezi kuwaacha wa ki survive Nawe pia...
  10. sangas

    Tusimdhihaki dereva wetu

    Mmhh huyu dereva huyu huyu natamani nishuke hata kwa kuruka, safar ya kuelekea dar-arusha anapitia Lindi mtwara Mozambique halafu nimsikilize Ali hali majua,route no dar to arusha
Back
Top Bottom