Katika football lolote linawezekana... Liverpoool kuna wakati alipigwa 3~0 first half lakini akawa bingwa wa uefa na ilikuwa liver mbovu sana maana ligi ya kwo walimaliza nafasi ya sita akiwa hana sifa ya kucheza uefa msimu unaofata.... Kuna waka barceleno walifungwa 5~0 na psg lakini walipindua...
Alikuwa mbumge kupitia chadema ...baadae akaunga mkono jitihada za mwendazake raisi akazadiwa unaibu waziri yeye na wenzake..siwataji so full kujikomba ndo serikali tulionayo hakuna weledi ukijikomba unapewa cheo
Kwa ufupi tu...samora macheli aliwahi kumuaga mkewe Graca macheli kuwa yeye [samora] anaweza poteza maisha hivyo akamwambia nikifa uende kwa mandela naamini mandela atakuwa raisi wa RSA...hivyo baada ya samora kutunguliwa graca alikuwa mjane na mandela akawa raisi hivyo unabii ukatimia...
katiba ya jmt haina wizara wala vipengele vyakd ila inamtaka raisi kuteua waziri mkuu na mawaziri na kuunda baraza .lakini katiba haijasema wizara ziweje ndio maana kila raisi anaunda wizara zake na kuzichanganya anavotaka. So cheo cha naibu waziri ama naibu waziri mkuu havipo kikatiba na ni...
Wale wataalaam wa IT kutoka Rwanda wana mfundishaa jamaa mambo ya rwanda si bure tu kuona tunafanana na Rwanda na mambo ya uendeshaji wa kibabe
Ipo siku tutajikuta ni Rwandan oriented kabisa yetu macho tu,
Duuh huenda wewe ulifurahi
Sana mwenzio kumiminiwa marisasi
Tatizo la watu wanaofaidika kwa sasa kwa dhuluma hizi tupatazo wananchi hawaoni mbele na kutuona tunao dai haki ni wasaliti
Siku Lissu anamiminiwa risasi mkuu wa nchi aliongea kuwa wasaliti hawezi kuwaacha wa ki survive
Nawe pia...
Mmhh huyu dereva huyu huyu natamani nishuke hata kwa kuruka, safar ya kuelekea dar-arusha anapitia Lindi mtwara Mozambique halafu nimsikilize Ali hali majua,route no dar to arusha
hakika kama wananchi hatuna pa kuanzia kujichomoa kwa hili la mkuu wa mkoa ,tutapiga sana kelele lakini mukulu ndio katoa msimamo wake kuwa HASIKILIZI MTU WALA HAKUNA WA KUMPANGIA
hili linaleta chuki mbaya sana mbele ya jamii dhidi ya kiranja wa mkoa
hili linaumiza sana hasa wale waliopata...
Your mad ma dear ,hivi huoni on twenty five years wapinzani wamefanya makubwa sana from ngaZi ya serikali mitaa ,udiwani ,ubunge had I idadi ya kura za uraisi ,opposition wamedevelop sana, wamekamata halmashauri za miji kadhaa nchini,
Wacha kuona event ya ccm Leo km ni mwisho wa upinzani,
JK...
Politics is game, ukicheza vema you gain much
Since mbowe kuwa chairman pale chadema amecheza sana game hizi anazijua,kuanzia akina prof .safari kuwangoa ,Cuf na lema, na msigwa kutoka TLP ,they now big in chadema ,tundu lisu alikuwa nccr now he is popular in chadema, leave lowasa ,sumaye...
Tulisema ataanza na wapinzani,kuwaweka sero,kesi na majanga kibao kahamia media nazo kimya sasa,NGO nazo mfyato, wateule wake full sifa kwa mkuu na sasa karudi home,kwa wale alionao
Kuna jambo kuu linakuja??????!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.