Naendelea! Taarifa nilizozipata punde baada ya thred hii kuwekwa jana ni kuwa Beno Malissa kamtafuta Katibu Martin Shigela na kuzungumzia jambo hili lakumpindua. Katika mazungumzo hayo ambayo Malisa alijitambulisha kuwa yuko mkoani Kilimanjaro yalifuatia na utulivu huku Shigella akijifanya kuwa...
Haya wakubwa, nimekutana na kija wangu aliyekuwepo kwenye msafara wa UVCCM Afrika Kusini, taarifa yake ni kuwa mkakati huu unaendeshwa kwa ustadi mkubwa akihusika pia Katibu Makamba. Makamba amekubali kuingia katika kazi hii ili kutomuudhi mtoto wa mkubwa Ridhwan na hii inatokana na Januari...
Wale vijana wanywa damu sasa wanajiandaa kumywa Martin Shigella kada yule aliyekuwa mkuu wa wilaya wilaya ya Mama Salma na akaletwa UVCCM kulinda maslahi ya kundi hilo. Hatua hii inakuja leo baada ya kummwaga Masauni wakisaidia na Bwana mkulu JK kwa kutumia taarifa feki kuwa alikuwa akisaliti...
Mnyika mbona umechelewa sana? Kwa taarifa yangu sahihi aliyewahi kuweka ombi la hoja binafsi ni Kafulila david na alianza wakati nyie mnazungumza tu yeye akawahi kuweka ombi lake. Kwa hiyo nadhani mtafute msaidiane kuboresha kwa kuwa hutakuwa na nafasi ya kupewa hoja wakati umechelewa...
Ni wakati Chadema iwe na tv na redia kinyume na hivyo kupigana kushinda uchaguzi ujao itakuwa shida kwetu. Uamuzi huu unatakiwa kuchukuliwa sasa maana fedha ya ruzuku na inaweza kabisa kusaidia mtaji huu ama twaweza kuhamasisha wanachama na wapenzi wetu ambao kwa sasa wana imani na sisi na wako...
Vijana wa chuo mna mambo sana. Nfanyia kazi hoja hii ya Zitto ya kuweka kumbukumbu kwa vijana wangu kisha nitarusha mkanda mzima hapa. Muda hautakuwa mrefu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.