MAMA SAMIA SULUHU HASSAN [emoji1241]
RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA MWANA DIPLOMASIA HALISI [emoji1241]
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayo mengi ambayo kwa namna moja ama nyingine tunaweza kumuelezea kwa ubora wa mambo anayo yafanya kwa ajili ya Taifa letu tukufu la...
Pamoja ya yote yaliyomo kwenye bajeti ya mwaka 2021/2022.
Nashukuru kwa serikali kwa kusikia kilio changu na mapendekezo yangu ya muda kitambo kwa baadhi ya watendaji wetu wa ngazi za chini huku.
NINA MAMBO MAWILI MKUU
1. Swala la madiwani, wenyeviti wa vijiji, vitongoji pamoja na mitaa...
Naishukuru sana serikali na Waziri mwenye dhamana ya mawasiliano KWA kupitia TCRA Kwa kuliona Hili la Vifurushi na bei zake za hovyo ambazo zilikuwa zimeanza kutumika Kuanzia leo.
Kwakweli tulikuwa tunaenda kukosesha watu ajira kwani kuna Vijana wengi wamejiajiri kupitia Soko la mawasiliano...
Pamoja na majonzi na maumivu ya kuondokewa na Rais Dr. JPM lakini BADO ninalo tumaini kuwa ametuacha kwenye mikono salama isiyoteteleka.
Naimani na Rais wetu Mama Samia Hassan Suluhu kwani kashapikwa na kapikika kisawasawa ndani ya miaka kadhaa aliyokuwa Makamo wa Rais Pamoja na nyadhifa...
Siku ambayo maskini wa nchi hii atakapochoka na upotoshaji wa viongozi wa ccm walai nchi hii wataiona chungu kwa namna yeyote ile kwani maumivu ya kunyonywa ni makali mno kuliko maumivu ya kidonda
Je kwa viongozi aina ya kina Sitta twaweza kuongoza nchi yetu kwa Amani pasipo kuwepo kwa vurugu kupitia kwa yale wayatendayo kwa jamii yetu? Kwanza kashindwa kuwasikiliza viongozi wa kidini toka madhebu yote kupitia tamko lao. Pili kashindwa kuzisikiliza sauti za wanyonge wanchi hii...
Kwa kuanza naomba kuwapa pole woote wenye majukumu ya hapa na pale na Mungu wetu si mchioyo wa fadhira anaendelea kutujaaria uzima na afya njema. Naomba kwa wajumbe wa Jamii forum kufahamu mawazo pamoja na fikra zao juu ya mwenendo wa swala la Rasimu ya Katiba ambayo inaendeleza kuchanwa chanwa...
Katika haya maisha kuna kila aina ya changamoto................
Kuna milima na mabonde pamoja na harakati za hapa na pale .....lakini MUNGU kwetu ndio kila kitu...........
Nasikitika kwa watu wasioamini MUNGU katika ulimwengu na Tanzania ya sasa.............
Kwa MOYO na FIKRA za UNYENYEKEVU...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.