fetheha km aliiba wali xaxa ataiba mpaka ukoko........je mbona hakusema alipewa athabu gani...na kawawa alipo pewa taariwa wakati walikuwa wote ali jiskiaje kijana wa enzi izo anaiba wali....
Naskitika sana televishe ya taifa kurusha picha za matangazo ya biashara,na miziki ambaya haina maadili wakati lao moja kuonesha habari mpya na matukio najinsi wa2 wanavyovutiwa na kuchukizwa kilchopo nawapa big up sana channel tenina redio one...
jamani dar es salaaam ndo inasifika kuwa na mawali nazi wengi,hasa mitaa ya manyanya,msisiri,mwananyamal keko yote hii nayo km hamjaelewa wale man wanaosaidia kazi za night za wadada...utakutana nao kwenye vigoro almaarufu shughuli,moshi 2nasema discko vumbi
kweli nchi ye2 imekuwa chaka la wa2 wasiokuwa na hekma na busara .eti gorofa lililopo posta la poromoka je alaumiwee mkandarasi au serikali yanye mamlaka ya kukagua maendeleo ya mkandarasi,hapo rupia ilipenyezwa,watoto we2 kufeli kwa kiwango kikubwa na wakaguzi wapo na hapo patakuwa pana nn au...
toka miaka ya tisini sijapta sikia matokeo ni mazuri ila yanaongezeka kwa ubovu "ukimwona mbua kakonda usmshangae mshangae anae mfuga"je serikali haikumbuki madai ya mgaya?je ni vizuri baba akigomana na mama watoto'waskie au baba unamkejeli mama.hebu tutizame kwa umakini hapa.1.walimu wanapewa...
mjinga akielimishwa anabadili ila mpumba hata umtoboe ubongo hataelewa kibonde umewapa jina thuri sana hao ni WAPUMBAVU tena ukiwa waangali ni watu umri unasoma saa 12.30 baada ya kuwazika wao 2taiza mabilioni ye2 jamani hebu watajeni na picha zao zibandikwe km za move za kanumba
kweli tuna shirika la hifathi la wanyama pori linaitwaTANAPA kwani limetoke kufahamika na wanaozungukwa na hifathi 2 je kwa wanaoishi miko ya mbali wana nufaikaje na HILI SHIRIKA TANAPA
hongeri sana waziri wa elimu ya juu na watumishi wote wa bodi ya mikopo kwa kazi nzuri.
Naskitika sanawa pale m2 anapo ji2ma mwingine ansinzia nakutegea
Kabla ya bunge la 10 waziri husika alisema ataleta vigezo vya utoaji mikopa katiaka elimu ya juu, naskitika kwa kilichotokea...
fikra ndio uongozi,kiongozi yapaswa aione kesho nakesho kutwa mpka mtondo go!
Kiongozi man yake ni kuwafanya wa2 wakubali ambacho hawakitaki,na kuanza kuiona kesho yao japo hawaijui,
Mashaka yananiji pale kiongozi anapo peleka taarifa za kazi kwa muke au mume na watoto hapo hakuna fikra bali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.