wajaribu kujiwekea akiba bila waume kujua jaribu hata kujenga kibanda chako mwenyewe taratibu usikubali mume ajue kikishakamilika andika hata jina la mwanao na pangisha ili siku mambo yakienda kombo usihangaike kuteseka sana.
Hapo kwenye red mhh:A S 13:
Kama wana uwezo wa kuwalea vizuri kwa kuwapa upendo na mahitaji muhimu aongeze,lakini pia huyo baba nae awe ameridhia kutoka moyoni ili isiwe tuamekubali kumridhisha mke wake.
Wanajamii,
Kama kuna mtu ana utaalam wowote wa ufugaji wa bata naomba tupeane elimu ili tuweze kufuga kisasa kwa ajili ya kutengeneza kipato.
===============
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.