Usitumie neno la Mungu kuhalalisha uovu! Mamlaka inayokubalika mbele za Mungu lazima iwe imepatikana kwa njia ya haki sio wizi! Usipokuwa makini utaanza kuruhusu kila uchafu kwa kigezo hichohicho, hata mtu akikupora mke na kummiliki utasema amepewa mamlaka na Mungu! Halafu unachanganya vitu...
Mawakala wa chadema wanadai kwamba karibu kura zote zilizoharibika zilikuwa za Dr. Slaa! Wamedai kuwa ukimpigia Slaa kwa kuweka tick, wanaccm wanakoleza wino hiyo sehemu halafu wakati wa kuhesabu wanakuambia hii imeharibika maana haieleweki kama tiki au la (mfano Mvomero hiyo approach imetumika...
Wewe unaongea utumbo! Nani kakuambia mkwere ana akili mpaka asiweze kufanya hivyo? Halafu ulivyo mpuuzi, Rostam ataingiaje na kutoka South Africa bila passport kuwa na mihuri ya kuonyesha kaingia na kutoka lini? Tatizo sio lako ni kwamba hujawahi kusafiri kwa ndege kwenda nje ya nchi na...
Hiyo mie mwenyewe niliipata nikiwa hapa South Africa kwa masikio yangu mwenyewe, akiongea bwana mmoja ambaye ni mwambata wa kijeshi katika ubalozi wa Tanzania huko Pretoria (Brigedia M****) kwamba "kura feki za Zanzibar zimetengenezwa mjini Sandton - uliopo jimbo la Gauteng na wanataka kura...
Huyu mama ananiboa kwa uelewa wake mbovu, anapenda kupotosha mantiki za thread! Waambie kikwete na nec kwa nini wanatangaza matokeo ambayo siyo, ila sio Dr. aache kudai haki ya umma! Yaani wewe unaona kudhulumu haki za watu ni bora kuliko kudai! Pumbavu
Nilitoa hii taarifa wengine walipuuza, wengine wakasema mie mzushi, ona sasa! Isome tena halafu sikiliza Dr. anasema nini?
mhh hii ni balaa
By pangamawe
Poleni na harakati za kuikomboa nchi yetu!
Leo napenda kuwajulisha mikakati michafu ya kupora na kuzuia maamuzi ya umma yanayofanywa na ccm...
Nami pia! Nilidhani ktk maisha yangu sitakuwa mwanachama wa chama chochote, lakini natangaza rasmi kuwa sasa natafuta utaratibu wa kujiunga na CHADEMA!
Hainiingii akilini! Ni kweli watanzania wanakubaliana na haya?
1.Rais wa kwanza duniani kudanganywa vibaya mno na wasaidizi wake
2.Rais wa kwanza kuwa na rekodi ya kuanguka anguka mbele ya kadamnasi
3.Rais wa kwanza duniani kufanya safari nyingi za nje ya nchi ndani ya mwaka mmoja tangu...
Kinachompa ushindi kikwete ni wizi wa kura kwa asilimia kubwa, halafu kiasi kingine anakipata kutoka kwa waswahili, mafisadi na wanajimu wenzake maana hao hawana uchungu na nchi, mfano soma hapa: http://xa.yimg.com/kq/groups/1803948/752231275/name/WARAKA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.