Recent content by rebooting

  1. R

    Baada ya utapeli wa kuponya vilema, UKIMWI na miujiza kudharaulika: what next kwa Manabii wa kiroho?

    Mungu yupo ndugu fikiria kwa kina, dini ni njia tu za kutufikisha kwenye ufalme wa Mungu ndio maana dini zipo nyingi kwasababu ni njia ya kutufikisha mahala fulani!..
  2. R

    Prof. Kabudi: Sheria mpya za madini hazitahusu migodi inayoendelea

    Ya body mikopo ili rudi nyuma bila wasiwasi ila hiii ya madini hairudi nyuma kwanini!? Double standards [emoji21] [emoji21] [emoji21]
  3. R

    HESLB njooni mkusanye madeni sekta isiyo rasmi

    Hata mimi nina duka langu na hice za abiria sasa sijui ntawalipaje hawa
  4. R

    Wanaotengeneza apps bei poa..mpo wapi?

    Kama unaona bei ya apps ni ghali kajaribu kusoma IT hapa bongo uone kama utaweza kudesign hata ki-website uchwara kirahisi rahisi tuu
  5. R

    Tukio lililo mtoa machozi

    Kwani hamjui mambo lafudhi kwa baadhi ya watu wa maebeo flan hapa tz??? Take easy
  6. R

    Tukio lililo mtoa machozi

    Hata mimi asee nahisi ni hao ccm maisha magumu tunashindwa hata kuoa
  7. R

    Sababu zinazonifanya nisimpende Mungu

    Tafuta mwalimu mzuri wa dini (ya kikristo) akueleweshe vizuri mambo ya fuatayo utajua ukweli na kuishi vizuri kwa amani bila ya kuwa na maswali hayo hapo juu kuhusu Mungu. 1.kwa nini Mungu aliumba dunia 2.Kwa nini Mungu alimuumba mwanadamu 4.Kwanini Mungu ametuacha tunateseka (magonjwa, njaa...
  8. R

    Nahitaji laptop Nipo Arusha

    Weka bei mkuu
Back
Top Bottom