Mungu yupo ndugu fikiria kwa kina, dini ni njia tu za kutufikisha kwenye ufalme wa Mungu ndio maana dini zipo nyingi kwasababu ni njia ya kutufikisha mahala fulani!..
Tafuta mwalimu mzuri wa dini (ya kikristo) akueleweshe vizuri mambo ya fuatayo utajua ukweli na kuishi vizuri kwa amani bila ya kuwa na maswali hayo hapo juu kuhusu Mungu.
1.kwa nini Mungu aliumba dunia
2.Kwa nini Mungu alimuumba mwanadamu
4.Kwanini Mungu ametuacha tunateseka (magonjwa, njaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.