Ni aibu hasa kwa wewe kuwa mtu wa majungu. Ukizingatia nilikuwa nakuheshimu despite I was senior to you Nyambala ( I dont need to reveal ubini wako hapa)
Thanks to all uzuri wake what ever is,said nasonga mbele wala sirudi nyuma. Kwa wale wanaoumia nawapa pole sana. kwa hiyo mtasemaaaa mtatukanaaa na hata mtagugumia sitetereki. Nawashukuru wale walionipa moyo .
All the best
As I have said earlier if you serious wants to help and give good advise identify yourself so,that I know naongea na nani as well as which gender or trans gender ili nisije nikakosea kuku address. Pia its about time now if you are man or woman enough tujuane basi. That will make
a good sense...
Hivi jamani mnataka kila mtu afiche ubini wake kama tulivyo wengi humu. Ni jionyeshaje? @ makupa.
I have been participating in this debates since I was in high school wengi wenu mkifyata mkia for those who knew me waulize uchaguzi wa ubunge kisarawe. Or kipindi cha mzee Ben who would dare to...
Nakubaliana na wewe katika hili lakini katika vita hii tusitenganishe kwa magnitude Rushwa ni Rushwa tu wote washughulikiwe ipasavyo tatizo liko pale pale nilisema asubuhi paka kengele na panya...
Kwanza kabisa mtoa hoja alikuwa tu na nia ya kunichafulia kama ilivyo kawaida yake. Pili sikusema hata kidogo nina falsafa za Mwalimu mie nimesema ni mfuasi wa falsafa za Mwalimu, kwa hiyo kuna utofauti mkubwa sana.
Huwa sina account JF hii ni mara ya kwanza kufungua account kwani nimeona...
Jamani nimewasikia lakini namuachia Mungu. Jambo usilolijua ni kama usiku wa kiza. Kwa wale wenye nia ya kunigombanisha na familia ya Mwandosya nao nawasamehe God knows.
Nadhani kikubwa zaidi ni kuacha wivu na kujadili mambo ya mstakabali wa taifa letu.
Heshima ya mtu hujengwa na analosema na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.