Kuna kambi imewekwa na vijana wa CCM katika hotel inajulikana kama Rombo Plaza, inayomilikiwa na ndg Wiliam Kiwango, eneo la Shimbi katika wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro.
Leo ni siku ya tatu vijana hao wakiwa wamepiga kambi hapo na huwa wanafundishwa mazoezi mbalimbali ikiwemo kipiga...
Naomba Wale Wanaojua Maana Halisi Ya Neno "fisadi"hasa Waalim Wa Dini
Mwalimu Wangu Wa Dini Aliniambia Neno Fisadi Kiblia Lina Maana "mtu Aliyehujum Mke Wa Mtu"anayetembea Na Wake Za Watu(michepuko Na Mke Asiye Wakoy
Kulingana Na Kukua Ku Lugha Neno Hili Lilinyumbuliwa Na Kupachkwa Wale...
Du! Ccm Imejaliwa Kututukana Baada Ya Mzee Mkapa Kutuita Malofa Na Mapumbavu
Leo Mwenyekiti Wa Ccm Kata Ya Shimbi Kwandele Akiwa Anamnadi Mgombea Wa Ccm Inocenti Malamsha
Alisema Vijana Wote Ambao Hawajaajiriwa Na Serikali Ya Ccm Na Majinga Na Maseseta Na Ccm Haipo Tayari Kuwaajiri Vijana...
Ina Majimbo 9
Majimbo Yaliyopo Uchagani Ni 6
Ccm2 Na Cdm 3 Tlp1
Upareni 3 Na Yote Na Ccm
Majimbo Ya Uchagani Ni
Rombo Cdm
Vunjo Tlp
Moshi Vijijin Ccm
Moshi Mjin Cdm
Hai Cdm
Siha Ccm
Kata Niliyopa Ina Vijiji 4 Na Ina Shule Mnasoziita Za Kata Si Tunaziita Na Za Vijiji Zipo 3 Na Privet Ipo 1
Na Simejengwa Kwa Nguvu Ya Wanachi
Ila Humwezi Kulinganisha Uchumi Wa Huku Na Sehem Nyingine
Maana Huku Tunategemea Ndiz Na Kahawa Na Raia Wengi Wapo Mijin Na Wanawatumia Wazaz Wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.