Naomba kuuliza anayefahamu Bei ya Usafirishaji wa Nafaka. Mfano Mahindi [emoji535] kupitia Semi [emoji597]
Naomba anisaidie bei au Gharama hizo hupimwa kwa kilo au kwa kila Mzigo wa Gunia moja na inakuwaje.
Msaada Please
Samahani Rafiki, Naomba kuuliza jambo linalo nitatiza juu ya Biashara ya Nafaka ningependa kufahamu
1.Masoko, baadhi yanayo husika na ununuzi wa Nafaka yapatikanayo DAR.
2.Nauli ya Usafirishaji wa Nafaka kwa Mzingo mmoja Mfano, Kg100 kutoka Songea to Dar.
3.Ununuzi wa bidhaa unafanyikaje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.