Nimeisoma sana katiba ya Tanzania ya mwaka 77,ina mambo mengi sana lakini katika suala la elimu ambayo kwa sasa ni maisha yetu sijafanikiwa kuona chochote,je wewe mwana JF ungependa katiba mpya izungumzie nini juu ya elimu yetu katika ngazi zote awali mpaka Dokta?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.