Hata mimi ninatumia huo mfumo na naelekea kumaliza mwaka toka nianze kutumia na kimsingi Hadi muda huu sijaona changamoto yoyote!
Kuna kuwa na mashimo mawili ambapo shimo Moja ni kwaajili ya Maji taka Yale ya kuogea na yanayotoka jikoni ambayo yanakuwa na chemicals za Sabuni za kuogea na kuoshea...
Msiwe wepesi wa kusahau.
Wakati SIMBA walipoilalamikia TP MAZEMBE kumtumia BOKUNGU na hatimaye TP MAZEMBE kupokwa ushindi je SIMBA walikuwa sehemu ya mkataba kati MAZEMBE na BOKUNGU?[emoji23]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.