Hi! naitwa paul nina umri wa miaka 28,ni mwanafunzi wa chuo .natafuta mchumba ili mungu akipenda,aje kuwa mke wangu wa ndoa.anatakiwa awe mkristo na mwenye hofu ya mungu,umri kati ya 18-26.kama kuna mtu yuko tayari tuwasiliane kwa email(salawaps@yahoo.com) kwa mawasiliano zaidi.please this is...
Jamani watanzania tunaelekea wapi? Maana kuongopa kumezidi sana. si marafiki wala wachumba.hasa uongo wa kwenye simu,utakuta mtu anasema.niko nyumbani na kumbe yuko sehemu nyingine.hii inasaidia nini?.
Basi naombeni msaada nimpate mchumba mwingine niachane na huyu wa kunipiga mizinga2.ila awe mschana mkristo mwenye kumjua mungu umri uwe miaka 20-25.tuwasiliane kwa email(salawaps@yahoo.com).
Je kuwa na mchumba ambaye kazi yake ni kubeep na kuomba vocha2 na hata ukimtumia anaishia ku2ma msg ya thanks,je huyu atakuwa mchumba wa kweli?.:violin:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.