Kwani huyo Eddo ni nani katika Dunia hii?anagawa hewa tunayovuta?aache ramli zilizomshinda kuipigia timu anayoipenda Arsenal kuwa watakuwa mabingwa wa kuongoza ligi....awaulize wenzake waliosema Simba underdog
Ukiwasikia Sasa,eti imekamilika Kila idara!Jana Mzamiru mmoja kawaziba viungo wooote wa UTO,ni basi tu,Simba huingia huku imeidharau Yanga ndio maana Huwa wanapata matokeo
Huwa nashangaa sana watu hasa wale mashabiki wa UTO kuropoka na kubwata kuwa Simba ni mbovu!hii si kweli, kwasababu ukiangalia kwa vigezo vyote mwishoni unaona Simba SC kwa Afrika Mashariki ndio timu Bora,lakini kwanini hujiweka kwenye maneno Simba ni mbovu,Moja ni kupata matokeo waliyokuwa...
Hicho ndio unachoweza kujibu!HAKUKUWA na uislamu kabla Mo kuwepo,kwasababu hamna ushahidi wowote kwenye Kolowani basi ukipenda Quran maana Mo aliwafunga akili kwenye uarabu, wala hata mkijibana kwenye kutumia vitabu vya Dini nyingine Hakuna.
Tatizo ni Moja TU!wamepewa walimu TU,basi kada nyingine ni nongwa,na hakika wangepewa watumishi wote wa serikali hakuna ambaye angekataa,na kuna majitu mengine yanaonesha dharau wakati ukweli wanatamani yangepata,alafu kuna kada wanajisifu kwamba mambo yao safi kama vile mishahara yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.