Sifa
- Si zaidi ya miaka 40
- Mkristo, mlokole atapewa kipaumbele
- Awe na kipato halali, anajitegemea.
- Elimu si chini ya form 4
Mimi sina uwezo wa kuzaa na nimejiajiri.
Karibu tufarijiane!
Kwa alieserious anifuate PM
Hizi zama si za kumkataa mtu kwa sababu ya kabila...
Inawezekana ndio kua ndugu zako hawawapendi wachagga lakini wewe si ndo utaishi nae?
Ongea na familia wakuelewe and stand on your ground.
Ukimwacha basi hukumpenda
Lol! Umeniacha hoi!!! Kwa matangazo hayo utawaachia sana wanawake nyumba.
Ungekaa tu na mwenzio mvumiliane. Unadhani waliodumu kwenye ndoa zao hawana mikwaruzo?
Sa kama anataka kuwatekenya si achukue namba zao akawatekenye vizuri? Si salama kumstua dereva... Atasababisha ajari!!! Huyo sio wa kupanda nae pikipiki moja tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.