Tofautisha kati ya NHIF ya JPM na ile ya JK na watangulizi wake, leo jitu linaongezewa kalaki tu linapiga kelele kama zuzu linasahau kila kitu. Wabongo ni bongolala kweli
Kwa nchi zetu za kiafrika kusoma siyo kuelimika.Wanafanya ufisadi siyo darasa la saba ndio hawa hawa wanaojimwambafy ni maDr na maProf.Afrika,soma ule basi ndio maana wanapenda kweli kuanza na title Dr.....,Prof.......Kwa wenzetu ujinga huo haupo
Ni suala la muda tu hadi 2023 watumishi wa umma mtaanza kumwelewa mtoa mada, kuna hatari ya kurudi enzi za mzee ruksa kwa watumishi wa umma.Kama wewe ulikuwa mdogo kipindi hicho ndio utajifunza, kinachowapasa ni kutafuta vyanzo vingine vya mapato, ni hayo tu.
Hizi sarakasi hazisaidii kilichopo hawa watu waanze kulipa kodi,mishahara yao pamoja na posho zao hazikatwi kodi kwa nini? Baada ya miaka 5 wanapewa pension ya wizi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.