Nchi imegawanyika! Ukiliangalia tamko la hivi
karibuni la waziri wa elimu na ukiwasikiliza
baadhi ya wadau, utadhani kuwa waziri
katangaza uamuzi wa haraka unaominya haki ya
elimu kwa watu wa nchi hii.
Lakini kwa wengine huu ni uamuzi sahihi. Kwetu
sie ambao tunaujua mfumo wa elimu na matunda
ya...
******----******----******----******
Nitafurahi kama pia tunaweza kupata ufafanuzi wa sect 11(b) ya 'Thelaw school of Tanzania act, 2007' je other qualifications ni zipi? Je PGDL ni mojawapo?
section 11.-(1) A person is eligible to undertake a programme of practical Admission
legal training...
Wakuu, salaam.
Nina shahada ya kwanza Elimu ya pili katika HR. lakini maishani nimetamani kuwa lawyer ingawa sikufanikisha kutokana na circumstances anuai.
Naomba mnijuze kama nikifanya postgraduate diploma(PGDL) mfano hapo out ndoto yangu inaweza kutimia? Ama mnanishauri nifanyeje.
Nadhani kamanda "ungehamasisha vijana unaowaongoza wajihudhurishe kwa wingi" Lazima chama kiwe na vijana wakakamavu! Pia wanatufundishia Red Brigade na hilo si habari njema? Let's be positive!
Lkn Chadema tusisheherekee sana. lzm tujihoji kwanini jimbo Moja tu?? Vipi kuhusu makamu mwenyekiti znz, na mbunge wa viti maalum M.Msabaha hawa vipi?? Siyo kwa kumpa Salumu wamepunguza uwezekano wa yeye kuongeza nguvu bara?? Ni mtizamo tu!!
ACT ni hovyo 100%; hata huyo profesa wao amejaribu kutulaghai lkn hawezi, eti mwenyekiti atamwajibisha kiongozi mkuu eeeh nani mkubwa kikatiba? Hapo kina mama wamedanganywa kuwa kuna mama anaongoza chama! what a shame! Halafu eti ni wajamaa nani anaitaka hiyo jehanamu! Lkn kwa itikadi hiyo ya...
Uwongo wa shetani huo. Ninyi ma-speculator ndio mnaosabanisha uchonganishi na kufanya wafanyakazi wanyimwe haki zao. Walimu waliopitishwa nchi nzima ni zaidi ya 35,000. Sasa wote hao wanatoka wanakoongoza chadema? Acha uvivu wa kufikiri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.