Kama ligi haichezwi Kwa head to head kwann head to head ni kigezo kimoja wapo kumpata bingwa wa ligi ikiwa vigezo vingine vyote team zinazowania ubingwa zimelingana??
Waliosoma Political Science kuna concept inaitwa "Noble lie" inasema "Any leader must lie for the benefits of the state, if a leader lie it's not a sin but if an individual lie it's a sin..
Siyo kila Jambo ni lazima liwekwe wazi especially kipindi ambacho nchi ipo kwenye taharuki kubwa Sana..
Ahly walikuwa wnashiriki klabu bingwa dunia.. so mechi nyingi za ligi ziliwakuta wakiwa huko.. hata game Yao na Cr belouizdad ilikuwa kiporo sababu hiyo
1, Azam sports federation cup inadhaminiwa na Azam, na huyohuyo Azam anamiliki timu inayoshiriki hiyo michuano
2. Ligi kuu NBC moja ya mdhamini wake ni Azam.. na Azam haohao wanamiliki timu, mbona hatuskii malalamiko yoyote..??
Sidhani kama kudhamini teams kuna shida, shida ni kumiliki team...
Mambo ya Archaeology hayo mkuu, kuna kina Australopithecus boisee, ororin tugenensis, sahelanthropus tchadensis, homo habilies, homo sapiens, na wengine wengi...
Na wanasemaga kipa nae ni mchezaji lakini katika formation zote za mpira huwa sioni kipa akitajwa, utaskia 4:4:2, 4:2:3:1 au 4:14:1 na nyingine nyingi..
Swali langu kwanini wasiwe wanaanza na 1:4:4:2 au 1: 4:3:3:1 au kwasababu yenyewe ni constant kwamba kipa lazima awe mmoja..?? Magolie...
Mbona kwenye Bible wanasema dhambi zako Zita athiri hadi kizazi chako cha 4??.....
Madhara tunayoyapata Leo ni kutokana na dhambi ya Adam na Hawa, kwann MUNGU hakutoa adhabu Kwa Wale wawili tu??
Nahs baada ya hiyo kesi, Yanga nao watafungua kesi Kwa Simba kutumia logo Yao kutangazia biashara za mbet na kampuni za mo.. maana nao walipost kwenye page Yao official ya insta
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.