duh kama kigezo ni wingi wa wanawake basi nao wasingekuwa wanachepuka. Bukoba kuna mwanamke wa mtu kafia guest house akiwa na jamaa. Alichepuka nae au kijijini kwao wanaume ni wachache kuliko wanawake?
Waregi tunaoa tu,
For 15 years of Dk. Magufuli in office as Minister and deputy Minister of Works nitajie barabara moja tu aliyosimamia itakayomaliza design period yake without premature failure?
Mkuu,
sijaona kijembe kwa Lowasa hapo ila ni tafsiri mbaya tu. Kashifa si Richmond pekee bali kuna orodha ndefu
1. Loliondo gate -1984
2. Chavda na akina mrema
3. Mohamed Grahm Enterprises na mashamba ya mkonge Tanga
4. Utoroshaji Dhahabu na mama Siti Mwinyi
5. Meremeta
6. Deep Green
7. meno ya...
Ndugu yangu ebu fisadi ni nani kati ya anaesimamia barabara na kulipa wakati hazina ubora. Zinabomoka kabla ya muda. Fisadi ni yule anayezalisha deni linalokua kila siku kwa tozo za faida kwenye Ujenzi wa barabara ambapo tuna deni lisilo la kazi la Shilingi trilioni 1.2, Fisadi ni yule aliyeuza...
Hapa Chadema iwe makini maana wengi walianguka kura za maoni. Mpendazole hajawahi kufika Kishapu toka apoteze ubunge leo anateuliwa kugombea. Naona mnachezea kichapo tu
Weka hapa huo utafiti feki ili tuuchambue vizuri. Compressive stress za ndoo ya maji au begi zinaishia first 1 mm ya kichwa na ubebwa zaidi na fuvu la ubongo ambalo halijawahi kuonekana kuwa na deformation wala crack kwa mtu yeyote anayebeba kitu kichwani sasa huo ubongo unabonyeaje?? Lete hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.