Mmm!what I can say right now they'r innocent till proven guilty.this is b'cz c wote wanaopata hizo 10%.kuna waaminifu kata yao though kwani sasa c rahic kuwatambua cz ya jazba,let wait.....
Mi nimechoka na kusikia maneno haya (wabaya wangu nawajua na ipo siku ntawataja), Ndugu Mchambuzi sasa kama hao watu umetajiwa nawe umejiridhisha kuwa ndo wenyewe wanaokuwinda, so what are you waiting 4 to mention their names on public?????Hebu jifunze kwa Dr. Slaa na list of SHAME aliyoilipua...
Ukweli ni kwamba kila mtu (Mkapa na JK) wana mabaya na mazuri yao, though huzidiana, na sasa ya ------ yamezidi mno na hasa mabaya (Udini ndo pabaya zaidi:nono:) sijui ndo LAIZZER AFFAIR rulling style........
Well said, tena inabidi tufunge tukimaanisha na si kushinda njaa tuu, kweli hawa watu ni hatari.
Note!Mungu akiwa upande wetu nani atakuwa juu yetu? Amini hakuna na Ibada zitasimama kama kawaida kwa jina la yeye mwenye uweza wa yote.
Sasa napata shaka sana kuhusu hii technologia ya kutumia michoro, maana kama FBI hawatahusishwa kwa bongo yetu sitashangaa kuona mkubwa anato order ichorwe taswira ya mtu mwenye Bifu naye while he/she is innocent. Sijui Tanzania yetu inaelekea wapi as tunataka Digital while we did not build well...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.