Daaaaaah hivi ni kweli nchi Ina EWURA au HAINA wana CCM wenzangu???? Na kama wapo anafanya kazi CHINI YA Nani?????
Leo Moshi Kilimanjaro PETROL [emoji618] Mji Mzima hawauzi Kisa I napanda Bei kesho j5 hii ni Sawa jamani Kwanini serekali yetu sikivu Leo Haina MAAMUZI WALA MSEMAJI MKUU...
Nimetafakari kwa kina kwa nilichokiona kikitokea juzi kwenye mkutano wa Mkuu Wa nchi na vyama vya kumuonyesha changamoto zilipo ni KITU CHA KIUNGWANA NA HESHIMA KUBWA [emoji1241].
Mwanamke huyu Mkuu Wa nchi kwanza ni HODARI SHUJAA SHUPAVU MSTAHIMILIVU NA MWENYE ROHO YA KIPEKEE kitendo ambacho...
Taifa letu La Tanzania [emoji1241] linahitaji uwajibikaji wa hali ya juu katika kutekeleza majukumu yetu ya kila kukicha, pasipo kufanya hivyo tunalibomoa na kurudisha au kuchelewesha kabisa maendeleo ya Taifa letu.
Mfano mzuri ni kufika kwa wakati katika ofisi zetu za Uma Mfano mahakamani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.