Mafuriko katika bonde la Rufiji yamekuwepo miaka mingi pindi mvua zinapoongezeka au kuwa nyingi.
Hapo hakuna cha ISO wala nini.
Hata kama Bwawa lile lisingekuwepo hayo maji yanayopita bwawani yangepita wapi?
Maji ambayo yalitakiwa yajae baada ya miaka 2 yamejaa kwa miezi 4 tu. Huoni kuwa maji ni...
Nakushauri kila wakati akiwa na furaha jaribu kumshauri namna ya kuzuia hasira yake.
Lakini pia be positive always.
Akiwa na hasira uwe mwepesi sana kusihi na kuomba awe katika utulivu.
Mengine karibu inbox tuyajenge zaidi: 0714080785
Hawa African Muslim Agency ndo wamiliki na wanaoendesha MUM.
Nina uhakika kutoka kwao wao wenyewe baada ya kuhudhuria kikao cha Bodi.
Bakwata hawana chao tena pale
Hata hivyo Morogoro Muslim University inamilikiwa na taasisi bimafsi inayoitwa African Muslim ambayo pia inamiliki taasisi kadhaa za kielimu kama mashule na vyuo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.