Ifike hatua itoshe kusema Manchester United imekuwa ni mahali au kundi la watu /uongozi usiojua ni kina nani wanafurahi au kuhuzunika kwa matokeo ya namna yoyote aidha ushindi ,sarw au Kushindwa .Navumilia lakini inauma sana .
Kama ni hivyo mbona nauli tarehe 08.12.2023 inatangazwa rasmi kupanda kwa hali ya juu kuliko kipato cha mwananchi wa kawaida ambaye ndio anasafiri kila siku kutafuta mkate wa ka siku ???
TUME YA UCHUNGUZI HILI NALO SI SAWA
Naomba kutoa la moyoni na linahusu wengi sana
1.Kwanini OC (office consumable proper) ikishuka kwenda halimashauri inarudishwa ndani ya masaa 12 mpaka 24 ili hali taarifa hazijapakiwa kwenye mfumo ?
-Hili limejitokeza kwa miezi 2 (mwezi wa 10 na 11) mfululizo...
Picha unazoziona hapona bus kampuni ya HAPPY NATION (TAIFA LENYE FURAHA)
T 508 EBS
Kampuni hili ni waswahili na walaghai
Kwanini Mnamo tarehe 30.10.2023 nimekata tiketi ya kutoka MOROGORO kwenda MUSOMA na wakakiri ya kwamba ndio mwisho wa Bus lao cha Ajabu nafika MWANZA mjini wanapaki bus lao...
Kila sehemu anatafuta pesa tu
1.nauli juu
2.anatoza mpaka mabango hata biashara changa ili hali ukiweka bango ana wewe
3.Mikopo toka nje ndio yeye
Hivi hagundui anapigwa kila sehemu
Picha unazoziona hapona bus kampuni ya HAPPY NATION (TAIFA LENYE FURAHA)
T 508 EBS
Kampuni hili ni waswahili na walaghai
Kwanini Mnamo tarehe 30.10.2023 nimekata tiketi ya kutoka MOROGORO kwenda MUSOMA na wakakiri ya kwamba ndio mwisho wa Bus lao cha Ajabu nafika MWANZA mjini wanapaki bus lao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.