Recent content by NOI NOI

  1. NOI NOI

    Wauza smartphone tukutane hapa

    100K naweza uziwa ?
  2. NOI NOI

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Niko Mara -Butiama 400K ,nasikilizwa ?
  3. NOI NOI

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Nikupe 400K
  4. NOI NOI

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Google Pixel 2 plain Au 2XL
  5. NOI NOI

    Aibu Old Trafford, Bournemouth yaipiga Man. United 3-0

    Ifike hatua itoshe kusema Manchester United imekuwa ni mahali au kundi la watu /uongozi usiojua ni kina nani wanafurahi au kuhuzunika kwa matokeo ya namna yoyote aidha ushindi ,sarw au Kushindwa .Navumilia lakini inauma sana .
  6. NOI NOI

    Nishati: Petroli yashuka kwa Tsh. 116, Dizeli Tsh. 148 Dar, Mafuta ya Taa yabaki palepale

    Kama ni hivyo mbona nauli tarehe 08.12.2023 inatangazwa rasmi kupanda kwa hali ya juu kuliko kipato cha mwananchi wa kawaida ambaye ndio anasafiri kila siku kutafuta mkate wa ka siku ???
  7. NOI NOI

    DOKEZO TAKUKURU chunguzeni Halmashauri ya Mji wa Kibaha pananuka wizi kuhusu ardhi

    TUME YA UCHUNGUZI HILI NALO SI SAWA Naomba kutoa la moyoni na linahusu wengi sana 1.Kwanini OC (office consumable proper) ikishuka kwenda halimashauri inarudishwa ndani ya masaa 12 mpaka 24 ili hali taarifa hazijapakiwa kwenye mfumo ? -Hili limejitokeza kwa miezi 2 (mwezi wa 10 na 11) mfululizo...
  8. NOI NOI

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Picha ya bidhaa yako inaweza tushawishi ,tuma niione hiyo Oppo na Nothing
  9. NOI NOI

    LATRA yatangaza ongezeko la nauli za Safari za Masafa Marefu na Mafupi kuanzia Desemba 8, 2023

    Picha unazoziona hapona bus kampuni ya HAPPY NATION (TAIFA LENYE FURAHA) T 508 EBS Kampuni hili ni waswahili na walaghai Kwanini Mnamo tarehe 30.10.2023 nimekata tiketi ya kutoka MOROGORO kwenda MUSOMA na wakakiri ya kwamba ndio mwisho wa Bus lao cha Ajabu nafika MWANZA mjini wanapaki bus lao...
  10. NOI NOI

    LATRA yatangaza ongezeko la nauli za Safari za Masafa Marefu na Mafupi kuanzia Desemba 8, 2023

    Kila sehemu anatafuta pesa tu 1.nauli juu 2.anatoza mpaka mabango hata biashara changa ili hali ukiweka bango ana wewe 3.Mikopo toka nje ndio yeye Hivi hagundui anapigwa kila sehemu
  11. NOI NOI

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/2152621/
  12. NOI NOI

    Kama JWTZ halitowaomba Radhi Raia wasio na Hatia WALIOTESWA KINYAMA na MP wa Lugalo Juzi, nawashauri walishtaki Jeshi

    Picha unazoziona hapona bus kampuni ya HAPPY NATION (TAIFA LENYE FURAHA) T 508 EBS Kampuni hili ni waswahili na walaghai Kwanini Mnamo tarehe 30.10.2023 nimekata tiketi ya kutoka MOROGORO kwenda MUSOMA na wakakiri ya kwamba ndio mwisho wa Bus lao cha Ajabu nafika MWANZA mjini wanapaki bus lao...
  13. NOI NOI

    Wauza smartphone tukutane hapa

    weka Simu namba nikucheck fasta
  14. NOI NOI

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Bado hii active
  15. NOI NOI

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Bado ipo au ishatoka
Back
Top Bottom