NSSF uko juu kuliko mifuko mengine kuna hili fao la matibabu ambalo wanachama huwa wanatibiwa na familia zao ambapo hakuna hata mfuko mmoja ambao inatoa kwa wanachama wake zaidi ya NSSF
hakuna gharama ya matibabu ninayokatwa kwa familia yangu kwa sasa ndio maana nawashauri wale wenye vipato vidogo wenzangu wajiunge na NSSF ili wenyewe watibiwe bure
mimi ndio niliotibiwa bure baada ya siku kadhaa mke wangu nae akatibiwa bure siku zote sijatoa hata shilingi. Kuna ndugu yangu mwengine alifanyiwa operation kubwa pia hakutoa hata shilingi. Hebu ndugu yangu acha ushabiki elezea kitu chenye uhakika.
Suluhisho hapo wajiunge na NSSF watajitengenezea pension zao za uzee na pia watapata matibabu bure manake mimi sasa hivi ninanufaika na hayo matibabu ya bure yanayotolewa na NSSF.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.