Recent content by Nkazahau

  1. N

    Mahakama ya Kadhi imekataliwa kwenye Rasimu ya katiba-Bunge maalum

    Ndugu yangu Bobuk; Paragraph ya mwisho ni hitimisho langu na kama kuna kasoro basi kasoro hizo ni zangu binafsi maana na mimi nimeumbwa sikujiumba, nimesema yanazungumzika kama tukiondoa hisia binafsi na za makundi, maana kwenye mambo ya sheria na katiba ni muhimu sana kufanya hivyo kama...
  2. N

    Mahakama ya Kadhi imekataliwa kwenye Rasimu ya katiba-Bunge maalum

    Mimi nadhani watanzania tumezongwa zaidi na ushabiki wa kidini kuliko kuliangalia hili jambo kwa undani na kujua faida zake na hasara zake. Hizi mahakama za kadhi au za kidini kwa ujumla si jambo la ajabu, hata katika baadhi ya nchi zilizoendelea zipo na zinajadiliwa kama tunavyozijadili sisi...
  3. N

    Prof Tibaijuka lazima ajiuzulu

    Ndio maana wewe sio raisi - Jussa kwao si uaharabuni au uarabuni, kwao ni Makunduchi, Zanzibar...labda umrudishe huko, yeye ni mzanzibari halisi na asili yake sio uarabu, familia yake imekuwepo Zanzibar si chini ya generations nne, kama unataka kuwarejesha waarabu kwao basi sijui watu wangapi...
  4. N

    Ismail Jussa amtukana Sitta, Nyerere na wa Tz Bara!

    Hilo deni kateni kwenye mamilioni ya dola za kimarekani mulizozichukua Zanzibar wakati wa vita vya Kagera na baada ya vita (ile miezi 18 Nyerere aliposema itakuwa migumu), kama hazitoshi munaweza kukata katika mchango wa Zanzibar katika kuundwa kwa BOT, kama hazitoshi basi tukae chini tupigiane...
  5. N

    Referendum for Zanzibar Independence

    European Union - duh! :)
  6. N

    COL.MAHFUDHI: Zanzibari and Tanzanian internationalist

    Nafahamu kuwa hupeleki kiongozi vitani lakini baada ya mapinduzi kutokea kwenye vikao vya mwanzo vya majadiliano na mataifa makubwa (ambavyo wote walishiriki) Karume hakuwa na sauti mbele ya Okello, sasa wewe kama ndio amiri jeshi mkuu kwa nini unamwachia lieutenant wako atoe maamuzi yote?, hii...
  7. N

    COL.MAHFUDHI: Zanzibari and Tanzanian internationalist

    Sijui source yako ya hii habari inatoka wapi lakini it's a well known fact kwamba hakushiriki na kwamba kuna strong evidence kuonyesha hivyo, kuna vitabu vimeandikwa na independent writers (sio wana mapinduzi au waliopinduliwa) kuhusu hili jambo visome halafu come to your own conclusion...
  8. N

    Z`bar withdraws passports of unregistered Comorians

    Haya wazanzibara na wapemba mkae mkao wa kula - you are next :)
  9. N

    Je, Rais wa Zanzibar si lazima awe na degree?

    All I'm saying is "Jerry, Jerry, Jerry" if you know what I mean ;)
  10. N

    Wazanzibari Wenyewe Mnajirudisha Nyuma: DR. Salim

    Don't kill the messenger. Naona unamchambua mjumbe badala ya ujumbe wake, Dr. Salim inawezekana kuwa hana credibility mbele ya wa Zanzibari lakini aliyosema ni ukweli mtupu sasa kuanza kumsakama yeye badala ya ujumbe wake ni makosa na ndio haya haya aliyoyazungumza yeye. Ukweli ni ukweli tu hata...
  11. N

    Wazanzibari Wenyewe Mnajirudisha Nyuma: DR. Salim

    Hivi ndugu elimu ni ya kimagharibi tu? elimu katika maisha inakuja kwa njia tofauti na shule ni mojawapo tu, kama wewe unaitumia hiyo elimu basi ungelifahamu hilo. Hivi una takwimu yoyote inayoweza kulinganisha per capita ya wasomi walioenda shule ya ki magharibi Tanzania Bara na Visiwani...
  12. N

    Wazanzibari Wenyewe Mnajirudisha Nyuma: DR. Salim

    Na hapo Tanganyika na Zanzibar zilipoungana zilikubaliana kutakuwa na serikali ngapi? na marais wangapi?, ninavyoelewa mimi ni kuwa Zanzibar ilikubaliana kuwa na serikali yake na rais wake na kujiamulia mambo yake wenyewe ukiyatoa mambo yaliyoingizwa kwenye muungano na wala haikutaka serikali ya...
  13. N

    Wazanzibari Wenyewe Mnajirudisha Nyuma: DR. Salim

    Matatizo ya muungano yataanza kutatuka siku ndugu zetu wa Danganyika watapoacha huu umbumbumbu wao katika muungano, wengi wao wameanza kuijua Zanzibar baada ya kufa Nyerere halafu leo wanajifanya kila kitu wanakijua wao kuhusu Zanzibar, wao ndio wataalamu wa kila tatizo la Zanzibar. Kumbukeni...
Back
Top Bottom