Kama kweli wangekuwa wamemfukuza, Pole pole angesema, kwa hiyo kazi ya uenezi ya CCM inafanywa na Bunge , aibuuuuuu kwa huo unaojiita muhimili kutumika vibaya
To balance they will go xtreme to ccm figure, halafu ni 5 bullets, kwa hiyo waachie hizo Landcruiser basi kwa sababu wenyewe bado wanatamba hata baada ya kuzikamata, hivyo haziusiki.
Kwani wao ndio walioleta ACCACIA, si imeletwa na CCM na wapinzani wakapiga kelele kuhusu utaratibu wa mikataba, na sasa wanapiga kelele kuhusu utaratibu unaotumika kuvunja mkataba, tatizo akili zenu mmezielekeza kusiko mkifikiri mnazo kumbe weupe
Nakuunga mkono asilimia 100 wewe mleta uzi, jana nilisikitika sana namna Mahela alivyokuwa anambeba Siro na serikali kwa ujumla kuhusu maswala ya ukiukwaji wa katiba unaopelekea kukandamizwa kwa demokrasia, unaofanywa na serikali kwa kutumia jeshi la polisi,
Maswali yanayohusu Katiba yalikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.