Vita kati ya Israel na Iran ni suala la muda tu, pamoja na mambo mengine, hii yote ni kwasababu ya udini na hasa Irani akiwa ndio superpower na mtetezi namba Moja wa Dola ya Kiislamu hapo mashariiki ya kati....
Ebu ngoja, sifa mojawapo ya mke wa kuoa ni lazima awe na uwezo wa kukufanya utake kumla sio unataka kumla halafu unavuta hisia Kwa wengine..Wazazi wanasema Muha ni mbaya wa sura, vipi wewe unasemaje? Hakuna mwanamke mbaya endapo utachagua kumpenda..
Kwa hii habari ya sadaka, Mungu alinisemesha jambo Moja muhimu sana; tusitoe sadaka kama rushwa ili Mungu atutendee jambo fulani Kwa maana rushwa ni adui wa haki na Mungu katu hapokei rushwa. Rushwa wapeni wanadamu lakini si MUNGU. Unapotoa sadaka jiulize kama hiyo sadaka ni SHUKRANI au ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.