Hongera kwa kumkumbusha Mhe. Rais, naomba nami nikusihi ndugu Rais ana zaidi ya siku 1825 za kukaa madarakani, kwa hiyo kuanza kumdai ahadi zote ndani ya Siku 100 ni kumuonea, kama ameweza kutimiza walau hill moja ndani ya kipindi kifupi namna hii ninaamini siku zilizosalia takribani 1720...
Mkuu we ni mtanzania kweli? Mbona kama napata mashaka? Hao ukawa wafanye mambo bika kufuata katiba? Maana katiba inaeleza bayana kuwa makam atatoka upande wa pili wa muungano, sasa kama vitu vidogo kama hii huvijui, je yale makubwa utayaweza?
Mkuu hongera kwa kwenda Dubai, sasa ungetusidia kama ungeweka bayana mlitumia sh ngapi kwa safari yenu (kwa maana ya nauli na hela mzigo) yote na mlikuja na vifaa kiasi gani
Papa Fransis wa kanisa katoliki ni kiongozi anayeongoza watu wengi duniani, huyo mbunge ambaye ni viti maalumu nimemsikia na kumuona anaweza kuwa muhimu katuka jamii kuliko papa?
Waweza jiuliza kwa nini nauliza hivi, kifupi ni kwamba Papa kwa mara ya mwisho kuangalia Television ni tarehe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.