Recent content by Narekeremo

  1. Narekeremo

    Yanga amkeni, Mchuzi wa Mbwa hunywewa ukiwa bado Wamoto

    9 Kwa hiyo tena Mungu alimwadhimisha mno, akamkirimia Jina lile lipitalo kila jina; Wafilipi 2:9 10 ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi; Wafilipi 2:10 11 na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI Bwana, kwa utukufu wa Mungu...
  2. Narekeremo

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Nani anakudanya?
  3. Narekeremo

    Manchester City kukosa mataji yote mawili EPL na FA. Wabahatishaji Arsenal bingwa leo

    [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] unajisikiaje hadi muda huu
  4. Narekeremo

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Leo vijana wamechafukwa yaani hawa wagonga nyundo leo wanakufa kifo kibaya sana
  5. Narekeremo

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Labda wanajenga mnara wa England premier league. [emoji16][emoji16][emoji16]
  6. Narekeremo

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Pep.hanaga ujinga na game za mwisho subirini mje muone wagonga nyundo wenu watanavyo gongeshwa.
  7. Narekeremo

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Yamekuwa maombi ya hivi tena hahahahahaaaa, Maombi ya kunimaliza.
  8. Narekeremo

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Hili nililisema mapema.
  9. Narekeremo

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Mkuu tayari biashara isha isha nilisema before wakijifanya wanaufahamu mwingi watakula cha pili.
  10. Narekeremo

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Mkakati wa Pep.leo ndio huo ni kuwaacha wauchezee ila yeye anachokita ni point 3 mhimu.
  11. Narekeremo

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    kimoja kinawatosha wakamsimlie Arteta
  12. Narekeremo

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Watumwe wasitumwe lazima wakae
  13. Narekeremo

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Ederson and K. De Bruyne out 69' S.Oterga and J.Doku in acha mapambano yaendelee leo ni leo asemaye kesho ni muongo huu ni usiku wa deni haukawii kucha.
  14. Narekeremo

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Hapa spurs akiendelea kujifanya anaujua atakula cha 2,leo Pep.yupo kimkakati zaidi.
  15. Narekeremo

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Goooooooaaaaaaaaaaal! 51' E.Haaland our Brilliant
Back
Top Bottom