kwan akiuliza humu kuna ubaya ....huo sio utoto hii ni forum ya matangazo na mtu anahaki ya kuweka tangazo kila kitu anachouza au anachotafuta..............acha ujinga
wabongo bana mtu anaweza akakosea kitu kidogo tu but nyie mnamek big deal.......labda ye ana maanisha blackberry mobile.......acheni ushenzi na kujifanya critics hapa
Sio that hazijajitosheleza kuna nyingine watu wana crticize tu ili kuannoy watu kama. kuna cku jamaa alikua anauza modem ya airtel iliyochakachuliwa basi kuna bmtu akaja akaanza kusema acha njaa we dogo na fujo nyingine nyingi sa hiyo ndo nn
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.