simu yangu ni `analogue` hivyo haina data wala internet na binafsi sijawahi jiunga na huduma yeyote ile zaidi ya kupiga simu, kutuma sms na pia kuitumia kwenye mobile banking
Kuna mitandao mingine ninayotumia naona hawana huo mchezo wa `kupoteza` salio; sioni kama ni busara nikitaja hapa maana itakuwa kama promotion na inaweza haribu muktadha wote wa huu uzi
Habari wadau wa jf na wote mnaopita humu kupata habari; kama heading ilivyo hapo juu ninaushahidi ambao nitauambanisha hapa kudhihilisha kwamba kampuni ya vodacom tanzania inawaibia muda wa hewani wa wateja bila hata mteja kutumia simu kwa huduma yeyote ile.
Kabla sijaelezea kwanza niweke wazi...
Dah! huu mkeka wa mechi 23 naona mechi 20 bet won na mechi 3 bet lost;
fc porto nadhani wachezaji walibet droo.
tukutane weekend ijayo; nitapunguza mechi na nitaongeza odds. mkeka wa matokeo huo hapo chini.
EPL
Burnley vs Manchester United - over 0.5 goals result: 0 - 2...
Italy kila wekeend lazima timu kubwa moja ichane mkeka; principle rahisi ni kucheza timu chache kwa kila weekend; ila ukiweka 4, 5 mara nyingi moja inakula mkeka.
ila hawa mafia sana; inawezekana huu mchezo bado unaendelea, hii siyo team ya kuifunga ac milan leo; unaweza hisi stickers wamebet
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.