Nahisi sababu yako ya kwanza inamaanisha utamchagua Zito kwa kuwa tu ni muislamu na hawezi kuacha uislamu hata kama hana sifa ya kuwa raisi.
Kumbuka hatuchagui kiongozs wa ibada hivyo suala la dini ya mtu ningeshauri lisipewe kipaumbele
Nawapongeza wameru kwa kufanya maamuzi sahihi ya kuikataa ccm. Furaha yangu kubwa si ushindi wa chadema bali kushindwa kwa ccm.
Hongera nassari,
hongera chadema,
hongera wanamapinduzi wote tanzania popote walipo.
Nassari fanya kazi bila kuangalia vikwazo watakavyoweka, hata ukikwama wananchi...
Wana JF roho inaniuma sana kwa yanayotendeka nchini, nimeacha kuangalia taarifa za habari wala vipindi vinavyoongelea mabo ya siasa. Nitakuwa napata taarifa toka kwenu wadau.
Na kwa taarifa yako ulioyetuma thread hii sijui ulitumia vigezo gani kuhisi CDM itashindwa ila mimi ni mwana Igunga niliyezaliwa na kukulia Igunga, najua jisi wana Igunga walivyochoshwa na uwakilishi wa jina. Sioni kitakachoizuia CDM kuchukua jimbo zaidi ya magamba ya watawala (Fedha na Dola)...
Nimesoma Accounting IFM wakati ule bado kinatoa Advanced Diploma, ni chuo kizuri kuliko vyote kwani tulipokuwa field, tuliotoka IFM tulionekana bora kuliko Mzumbe na UDSM. Naweza kukushauri umpeleke pale lakini kwanza kama unaweza ada yake maana hata kama atapata mkopo hiyo asilimia 40 yake ni...
Mh! nashindwa hata kukukaribisha, maana sijui kama nko ndani au nje. mi sikupiga hodi nilivyoingia na nimeshachangia mada kadhaa.
Wana JF naomba mnisamehe kwa kweli sikupata kujua hata kama kuna sehemu ya kubishia hodi, nilipoingia tu nilikuta mada kali sana nikaanza kuchangia na sikufanya...
Kashaija ulichosema ni kweli kuwa kuna umuhimu wa watanzania kuifahamu katiba iliyopo ili kujua nini cha kurekebishwa na nini cha kuondoa.
Lakini hicho kitu naona kama hakiwezekani vile maana hata mazingira yaliyopo yanasababisha ugumu. Katiba inauzwa kwenye maduka ya serikali tu, ni miji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.