Ingawa huu si utetezi wa alichokifanya, bali nawaza tu. Kwani PHD yake inahusiana na mambo ya lugha? Tunampimaje kuunganisha PHD na ufasaha wa lugha ya kigeni?
By the way, kumasta lugha fulani lazima uweke bidii fulani na pia uwe unazungumza. Otherwise utakua na ze, ze nyingi na viunganishi...
Mkuu, sijapanic ila inaweza kuonekana hivyo kulingana na nilinyoandika. Kuhusu dini sio issue ndio maana nikasema kama unamwamini, hapo nimekuweka huru tu nikiwa na maana kuwa sio lazima uapply hicho kigezo, na pia hii inaweza kumfaa anayeamini. Na najua wazi kuwa tuna imani tofauti. Usifungwe...
:mad::mad:
hii haikubaliki, unatoaje namba ya simu ya mtu kirahisi hivyo kwa uma kama huu?
Hapo ni sawa na kufunga mbuzi kwenye kibanda cha mabanzi katikati ya mbuga ya serengeti halafu unaweka mlango wa grill.
Kama utanielewa ifute hiyo namba au post yako yote kumstahi huyo mhusika. Tuwe...
Hivi wewe jamaa una shida gani? Kuna yapi yamekukute hivi karibuni?
Unataka nikupe wangapi??? sema sasa hivi na unihakikishie kuwa utawaoa au utamuoa???
Tuliza akili kijana, acha kujilisha upepo, wanawake wako wengi kuliko akili yako ilivyokariri, na ni wazuri wa sura mpaka tabia.
Unakwama...
Mkuu, umefanya utafiti wowote kuhusu hili? je utafiti wako uemjikita maeneo gani? Je, unafahamu idadi ya wanawake nchini mwetu? Je, unaweza kutupa ushahidi wowote?
usije kuwa umepitapita kwenye baadhi ya familia mtaani kwenu unavizia watoto wa watu unakuta kawaiwa au wale unaowajua ndo...
Manengelo! Manengelo! Manengelo! Hivi una nini lakini? Kwa hiyo kuna vichaa humu??????
Nimecheka sana sijui kwanini. Kama vile unaongea kwa machungu na upole huku unashusha kibomu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kumbuka kuwa elimu ni ufunguo wa maisha, sasa amepata ufunguo anahitaji akaanze maisha.
Kwa kifupi elimu yetu haitupi ujuzi wa moja kwa moja au haitupi mbinu za kutumia kwenye jamii moja kwa moja kutatua changamoto za maisha.
Mfumo huu unhitaji ubadilishwe, kinachohuzunisha ni kwamba sioni...
Pole sana, ndoto yako ina sehemu mbili.
1. Umezikwa halafu ukaamka na kusimama then aliyekuzika anatimua mbio, kwenye ulimwengu wa roho huu ni ushindi, aliyekua anakuandama ameshindwa ila simama kwenye maombi. Mtukuze Mungu aliyekushindia yote.
2. Kulishwa vyakula ukavitema na kutapika, vyakula...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.