Jamaawana mbinu chafu dhidi ya chama chetu makini cha CHADEMA ila naamba sana watanzania tuombe mungu wasiwadhuru viongozi wetu makini.
Dr. Slaa ni mtu muhimu sana katika chama na taifa nani asiyejua kama nchi inaongozwa na viongozi hawa hasa Dr. Slaa maana anatoa maelezo mengi na serikali...
Kwa kweli kucheza na mjinga sio kazi kama polisi wameweza kutumia masaa sita kumhoji Nassari kweli hatuna jeshi la polisi bongo mana mambo kama haya ndo wanaweza kushadadia,Lusinde matusi ya nguoni alitukana wapi kama sio Arusha?au matusi sio uchochezi?mnaboa sana polisi wa bongo.:hat:
Leo baada ya mahojiano na polisi Arusha mjini zaidi ya masaa sita,Nassari akiongea na waandishi wa habari alisema "Mimi ni mdogo,kama ninauwezo wa kuigawa nchi hii basi nchi hii haikupaswa kuwepo"
Source;ITV News 2000hrs*
Niseme tu ukweli ni mapema sana Waandishi wa habari kuwachonganisha watu wa IRINGA na mbunge wao Msingwa kwan ni mtu makini,tatizo ninaloona hapa baadhi ya watu wa Iringa mama Mbegga aliwazoesha vibaya kuwanunulia pombe watu na sio maendeleo hivyo kuwafanya waamini Msigwa afanyi maendeleo.Mimi...
Nilipoona taarifa hii nimekumbuka kijijini Mngeta-Mchombe na maeneo ya jirani kwetu wakinamama wajawazito wanavyojifungulia njiani kisa barabara mbaya,yani natamani kulia,anachofanya anajikomoa.WATANZANIA TUAMKE NA TUSEME BASI KWANI RAIS KWA MADUDU HAYA ANAWEZAJE KUWAWAJIBISHA MAWAZIRI...
Nilipoona taarifa hii nimekumbuka kijijini Mngeta-Mchombe na maeneo ya jirani kwetu wakinamama wajawazito wanavyojifungulia njiani kisa barabara mbaya,yani natamani kulia,anachofanya anajikomoa.WATANZANIA TUAMKE NA TUSEME BASI KWANI RAIS KWA MADUDU HAYA ANAWEZAJE KUWAWAJIBISHA MAWAZIRI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.