Habari wadau.
Tuna hitajio la Mwalimu wa Madereva (Drivers Instructor) katika taasisi yetu ya (Women on Wheels-Africa)
SIFA ZA MUOMBAJI
-Awe na uthibitisho wa ualimu wake (Driving Instructor's Certificate Of Registration) uliotolewa na NIT
-Awe na nidhamu ya kazi na record nzuri katika...
Hello JF Members.
Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Kwa mwenye mahitaji ya dereva muaminifu na mwenye uzoefu, basi amepata.
SIFA ZA DEREVA
-Ana uzoefu usiopungua miaka 10 katika uendeshaji wa magari makubwa na madogo, na hajawahi kupata/kusababisha ajali.
-Kiwango cha elimu ni darasa la...
Bavaria
Katika comments zako za nyuma, ulipata kusema umekuwa ukitumia FNB (Bank) katika trading.
Concern yangu ni kwamba; wakati nafanya deposit kwa broker, akaniambia VISA card yangu haiko 3D secured, hivyo napaswa ku-authorise kwa kuweka exactly amount ambayo itakuwa deducted from my...
Mkuu Ontario shukrani sana kwa elimu hii.
Pia nitoe shukrani kwa Mkuu Bavaria katika kutuongezea ujuzi juu ya jambo hili.
Binafsi ningependa kutoa my progress juu ya kitu hii, kwa lengo la kusahihishwa ikiwa ninakosea na kuelekezwa namna ya kufanya vyema zaidi.
Nilifungua demo account na...
FOREX haijawahi muacha mtu salama
Nime-set deposit amount ya $ 50 kwa demo, within few seconds nikaipeleka mpaka $70
Few seconds later, nikaichoma yote.
Nlichogundua kwa hii kitu, ni vyema sana uka-stick na ur TRADING PLAN, haijalishi soko linakujia na vishawishi gani.
Forex traders
Naombeni mnisaidie kiufahamu.
Nimefungua accounts 2 za demo, moja nliset $50 pia nikachagua leverage ya 1:200, account balance ikasoma $10,000 (kwa maana $50 *200)
Account ya pili nimeset $100 na leverage nikachagua 1:50, BUT account balance inasoma $100
HUU UTOFAUTI WA ACCOUNT...
Habarini wapendwa
Napenda kuchukua nafasi hii; ili kuwasilisha taarifa za mpendwa hapa chini.
"Mimi ni kijana wa kiTanzania mwenye umri wa miaka 45, nina uzoefu was zaidi ya miaka 5 katika udereva wa magari.
Ninamiliki Driving License Class E.
Najitokeza kwenu kwa ajili ya kutafuta nafasi ya...
Ikiwa nahitaji kuandaliwa andiko pia kujaziwa fomu kwa ajili ya kupeleka Foundation For Civil Society kwa round hii ya kwanza, ina-cost kiasi gani Kiongozi?
Kifupi huu ni utapeli,
Jaribu kuvaa viatu vya hao unaotaraji kuwaomba mchango kwa kuwalaghai, utajihisi vipi baada ya mtu kuchukua pesa yako akikuambia ni mchango wa harusi, kumbe kaenda kutengeneza maisha na mkewe?
Kumbuka these stuff have gotten opposite reactions.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.