Ni kweli mkuu hizo ni gari za kazi haswa kama ni mtu wa kazi. Nimekua naitumia kwa safari za Iringa Kilosa na haijawahi kunisumbua. Nina shida tu imenikuta inabidi niagane nayo nikaimarishe kilimo
Asante mkuu. Kwa sasa ntaanza na sembe na Dona. Ila business plan yangu ya kukuza nataka niwe natengeneza dona sembe na muhogo ndani ya 3years.Kuna masoko flani nafukuzia nchini India ya muhogo. Tuombeane
Ndio kuitumia kwa muundo niliwekwa Mimi unafanya one thing at a time lakini kumbuka mota ya kusaga ni kubwa kuliko ile ya kukoboa
Bei hizo ziko juu sana lakini haswa tumia za Sido kwa vinu mota ndo uingoe Dukani
sijajua unataka gharama za mashine yenye nini na nini. Kuna umeme hapo? 3Phase...
Pitia I a pia katika uzi wangu huu. Utajifunza mawili matatu. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-biashara-na-uchumi/971196-nataka-kuanzisha-kiwanda-cha-kusaga-nafaka.html#post14608392
Get angry get insipired. Kuwa mvumilivu,na cha muhimu kuliko vyote penda unachofanya. Mimi nimeipenda hii kazi tayari na hata ukiniambia nikaajiriwe BOT ntatosa. Sema kuna changamoto nyingi na ndio nataka tuelezane changamoto kwa wazoefu. Sema hawaji na mimi sijioni km mzoefu bado. Nataka...
Hamna uzoefu katika maisha. Na hamna uzoefu kwenye biashara pia na siku utakayojiona we ndio mzoefu ujue ndio siku utakayoanguka. Nimeiweka hapa hii ili niendelee kujifunza zaidi haswa katika masoko na pia mbinu mpya.
Hapa wanapita watu mbalimbali mkuu.
Natumai umenielewa. Mwenye kutaka...
Mkuu mashine ya kusaga na kukoboa sijaagiza kutoka nje. Hii niliinunua kutoka kwa mstaafu mmoja wa Relwe(TRC) mwaka 2010 nikiwa chuo. Nilinunua kinu cha kukoboa na kinu cha kusaga na mota moja niliyoifunga katikati kwa vinu vyote. Mota yangu ni ya 20hp nilinunua kwa sh.700,000.Hivyo vitu vingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.