Unaweza kuona jinsi gani Serikali yetu isivyo zingatia matumizi sahihi ya rasilimali ya Taifa...Ndiyo maana hata mtu mmoja mwenye mamlaka anaweza kujichukulia wanyama wetu katika mbuga za wanyama kama vile anaswaga ng'ombe kwenye zizi lake na kusafirisha nje ya nchi tena kwa ndege.Hapo tunabaki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.